AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
''Dady i miss u ðŸ˜. pesa imestaafu na wewe, maisha magumu kweli, siku hizi pesa naiona kwenye taarifa ya habari, habari za biashara''
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hii sasa unampakazia JK..
ReplyDeletekwahiyo Kikwete ndiye alikuwa akimpatia fedha? akili ndogo
ReplyDeleteNa bado kudadeki mlizowea kuiba kupeana michongo ya pesa wenyewe kwa wenyewe tender mazishi kibao mkawa mnajichotea pesa tu sasa nyinyi wenyewe mmemchagua Rais anayetaka maendeleo siyo tu la kundi kama lenu(hapo juu)watu wa tender magumashu bali hata kwa yule mtanzania anayeishi kule kijijini Muleba/Bukoba naye ajisikie kuwa kuna serikali inayomuangalia na kumuhudumia matatizo yake
ReplyDeleteJoyce wacha unafiki.......mfyuuuu
ReplyDeleteHahahahahahahahah,Afadhali tuungue wote na jua la mifukoni,mimi tangu enzi za JK mpaka sasa wakati huu wa JPJM
ReplyDeletenajionea sawa tu,sijawahi kuwa na neema ya pesa.MAGUFULU KIBOKO
walozoe pesa za wizi na kuhongwa ndio alioadhirika haaahaaaha mfanye kazi sana namjue maskini alikuwa anaishije na shilling elfu moja kwa siku love JPM mtaisoma namba mwaka huu
ReplyDeleteMtajutraaa, mumezowea kuunda 'vi-NGO' feki.......utakula kwa jasho...HAPA KAZI TU
ReplyDelete