AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
TULIPE KODI KWA MAENDELEO YA NCHI YETU
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Unaweza ukashangaa ukakatwa zaidi ya hiyo!!! mbona patakuwa hapatoshi nguo kuchanika!!! haya bwana ngoja tujenge nchi.
ReplyDeleteTWAFAAA
ReplyDeletewakamue baba magu,wawe chadema,ccm au cuf wewe kamua baba,si wanajipendekeza mpaka wajue wewe ni nani,uzuri wa kodi haichagui wewe ni chama gani,KAMUA BABA.
ReplyDeleteKUJIPENDEKEZA?KI VIPI.TUNAJUA MAGU HAYUKO KWA WATU WA CCM TU.KWANI WEWE UNAPOPITA BARABARANI UNAONA TOFAUTI YA VYAMA?
DeleteNI SIASA NDIO LAKINI JARIBU KUTUMIA HEKIMA KWENYE KAULI ZAKO.
tulupunguziwa kodi ktk mishahara halafu kodi za kibenki zinapanda,naona tupo palepale
ReplyDeleteHahahaahahaahahhahhhaha hhaaahhah hahahahah hahahahah hahhahah hahahha hahahah hahahah hahhahaha hahhahhah hahhaha....mwenye uelewa ndani ya hiki kicheko changu keshapata ujumbe...
ReplyDeleteIkiandikwa kwam 18% huwezi kuelewa lakini katika Utekelezaji itaeleweka vizuri sana. Kwahiyo tusubiri utekelezaji sababu kwa sasa wanasiasa wanaitumia mwanya wa uelewa mdogo wa wananchi kuitafsiri vibaya. Nadhani tusubiri kidogo, itaeleweka.
ReplyDelete