Dogo Janja Awapa Neno Mashabiki Wanaombeza Diamond Baada ya Kukosa Tuzo ya BET

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Tip Top Connection, Dogo Janja amewataka mashabiki katika mitandao ya kijamii kuacha kuandika maneno ya kumbeza Diamond Platnumz baada ya kukosa tuzo ya BET na kuchukuliwa na Black Coffee kutoka Afrika Kusini.

Rapper huyo ambaye ameachia remix ya wimbo ‘My Life’ hivi karibuni akiwa amemshirikisha Radio & Weasel kutoka Uganda, ameiambia Bongo5 kuwa hatua aliyoifikia Diamond kimataifa ni kubwa hivyo anapaswa kupongezwa.

“Unajua watu walikuwa wanamatarajio makubwa sana na tuzo lakini mwisho wa siku tukubali matokeo ya kushinda na kushindwa,” alisema Dogo Janja.

Aliongeza,

“Diamond bado ni mshindi, alikuwa mtanzania pekee, kwa hiyo huu sio wakati wakumbeza, tumtie moyo ili aendelee kupambana zaidi,”

Diamond ni msanii pekee wa Tanzania ambaye alikuwa kwenye kinyang’anyiro cha tuzo hiyo ambayo ilichukuliwa na msanii kutoka Afrika Kusini.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huyu dogo akasugue meno yake kwanza.

    ReplyDelete
    Replies
    1. u mjinga sana wewe anony 6.07

      Delete
  2. Akae ajiulize kwann anabezwa mbina wasanii wenumgine wakikosa tuzo hawabezwi lipo tatizo...akae atafakari arudi nyuma ataona tatizo liko wapi

    ReplyDelete
  3. mjinga hayawani hafriti mwanahizaya Anony 8.35 PM. ops! na wewe unameno ya njano kama ya dogo janja.

    ReplyDelete
    Replies
    1. yaani anony wa 9.22pm licha ya kuwa mjinga wewe mtoka pabaya na msenge/hanithi mkubwa tena ni mshenzi uliyepitiliza kuliko hata pimbi, kuwa na meno ya njano ni issue??? tena ukome kabisa filauni mkubwa.

      Delete
  4. Huyu dogo anahitaji kuungw na Diamond ao amusainishe kweny WCB. Ndo maana unaon dogo anazungumza sana kwenybishu za Diamond. Ila kazungumz point hapo. Fikra nzuri dogo honger ili usitumie hay manen manen ili ukubalik na Diamond.

    ReplyDelete
  5. Meno yake yamegandia kinyesi akasafishe kwanza

    ReplyDelete
  6. Tatizo watanzania hatupendagi kusifia vya kwetu,mtu katuwakilisha kama nchi lakini bado tuu tunamponda,ila kawaida ya binadamu,chuki binafsi tu,ambao wanambeza awana la kufanya.

    ReplyDelete

Top Post Ad