AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5, Hussein Machozi amesema kuwa nafasi yake kwenye muziki bado ipo kwa sababu hakuna aliyefanya kama yeye mpaka sasa.
“Game ni rahisi sana, kwa sababu muziki wa sasa hivi ni kiki. Mimi nitafanya muziki lakini kama ukinambia nifanye kiki nitashindwa,” alisema Machozi.
“Siyo kama nitarudisha heshima mimi nina heshima mpaka kesho kwa sababu hakuna mtu aliyeweza kufanya kama mimi. Najiamini najua nafasi yangu bado ipo sema nilikuwa kimya kidogo,” aliongeza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK