Huu ni Ushauri Ambao Shaa Alipewa na Lady Jaydee na Hatousahau Maishani Mwake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shaa alipewa ushauri muhimu na Lady Jaydee ambao hadi leo hatousahau na umemsaidia kwenye maisha yake ya muziki.

"Namquote dada Jide kitambo like 5 or 6 years back aliniambia kwamba ‘ukifanya kazi hii kwaajili ya kupata awards mdogo wangu utagive up’ utakata tamaa. Aliniambia wewe fanya kazi hii focus kwenye malengo yako, tengeneza pesa ujifikishe pale unapotaka,” alisema Shaa kwenye video ambayo Jide aliipost Instagram.

Jide aliandika kwenye video hiyo: Unapompatia mdogo wako ushauri halafu anaamua huufanyia kazi ni jambo la faraja sana. Keep it up my Shaa. Never ever Give up, no matter what.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad