MASKINI: Basi la Mwendokasi Laua Mlemavu Kariakoo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mlemavu wa viungo amegongwa na basi la mwendokasi na kufa papo hapo usiku huu, eneo la Kariakoo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Lucas Mkondya amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa 2.00 usiku makutano ya barabara za Msimbazi na Uhuru na kwamba, mwili wa mlemavu huyo wa kiume umeokotwa vipandevipande.

Nkondya amesema chanzo cha ajali ni mwendokasi wa dereva, kwani tukio hilo limetokea karibu na makutano ya barabara za Msimbazi na Uhuru ambako kuna mataa, hivyo alitegemea basi lingekuwa kwenye mwendo wa kawaida.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad