Ndoa ya Mwanamuziki Steve R n'B Chali..Mwenye Adai Hana Bahati...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Steve Rn'B akiwa na aliyekuwa mke wake.
Pia Steve amesema alifanikiwa kupata mtoto mmoja katika ndoa yake na kusema ndoa ni kati ya watu wawili hivyo makubaliano ya kuachana yalikuja baina yao na pia itakapofikia wakati wa kurudiana wataamua wao.

Steve amesema anatarajia kuachia ngoma yake mpya ambayo amemshirikisha Bell Nass na kusema ndani ya ngoma hiyo watu watarajie kupata ladha na ubunifu kama ilivyo kawaida yake akidai kuwa huwa hakosei anapoamua kuachia ngoma.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad