AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jumapili hii wawili hao walishare picha katika mtandao wa kijamii na kila mmoja kuandika ujumbe wa ‘Happyfathersday#tuongeejumatano’ kauli ambayo imefurahiwa na mashabiki wengi.
Ugomvi wa Young Dee na bosi wake Max Rioba uliibua mambo mengi likiwemo la madai ya rapper huyo kuhusishwa na matumizi ya Madawa ya kulevya.
Haya ni maoni ya baadhi ya mashabiki wa kwenye mitandao baada ya kuona ujumbe huyo.
Alfredmbuya.
Am Gud kam humejitambua xamtimes kampan mbaya huchangia kukupoteza mdogo wang!
Saidmashua
Nimefurah sana mwanangu kurudi kwa max…………hope kila kitu kitaenda saana….!!!
Vituko vya uswazi
Nafulai kama utakua umejitambua kwasababu kati ya wanakuziki wote wenye umri mdogo wwe ndo unapendwa sana sasa tumia iyo Chans vizur usiipoteze tunakupnda xna achana na makundi yakixhenzi yanakuludixha nyuma.
Hellenkazimoto
Maximilian Rioba na Youngdaresalama u two made ma day..im impressed.empire for life
Bravepivot
Hatimaye umerudi kwenye mikono salama, respect kwa @maximilianrioba kweli we ni brother, angepotea uyo chalii
Hemedi20D
umetisha sana hapa nakuelewa sana ww na Max tena sana nmefurah mno kuona hivi I hope mangoma makali yatarudi upya kama enzi zile nmemiss flw zako kali bro
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK