Picha: Maisha ya Siwema wa Nay wa Mitego baada ya kutoka jela

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mzazi mwenzake na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson anaendelea kufurahia maisha ya uraiani ikiwa ni mwezi mmoja toka mahakama ya Mwanza kutengua kifungo cha miaka miwili jela na kumhukumu kifungo cha nje cha miaka miwili.

Aprili mwaka huu mahakama hiyo ilimtia hatiani mrembo huyo kwa kosa la kutukana matusi kwa njia ya mtandao.

Hata hivyo mpenzi wake wa zamani Nay wa Mitego ndiye aliyemsaidia kutenguliwa kwa kifungo hicho cha miaka miwili jela na kuwa cha nje.
Siwema akiwa na kijana anayedaiwa kuwa mpenzi wake
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad