Polisi Wabuni Mbinu Mpya Kunasa Watuhumiwa wa Mauaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam wameanza kudhibiti vitendo vya mauaji kwa kupitia wapangaji na wenye nyumba kulazimika kuingia mikataba itakayoambatana na picha ya mpangaji.

Wamewataka wenye nyumba wanapotengeneza mikataba waweke picha za wapangaji wao na nakala zipelekwe kwenye ofisi za Serikali za mitaa kwa ajili ya usalama.

Hatua hiyo imekuja baada ya jeshi hilo kubaini kuwa kila linapokwenda kuwakamata watuhumiwa wanakoishi linakosa taarifa kamili kutoka kwa wenye nyumba wao.

Kamanda wa Kanda hiyo, Simon Sirro alisema jana kuwa utafiti unaonyesha wanapowafuatilia watuhumiwa, wengi wao huwa wamechukua chumba kimoja ambacho hukaa miezi miwili hadi mitatu na baadaye wanahamia kwenye nyumba nyingine.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad