AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dk. Tulia alisema…
’Mbunge Goodluck Mlinga katika mwongozo wake alilalamikia kitendo cha mbunge Anatropia kumvua baraghashia aliyokuwa amevaa siku hiyo, kitendo kilichomfanya asiwe na sifa ya kukaa ndani ya bunge kama sheria inavyosema‘ –Dk. Tulia Ackson
‘Nimepitia picha za video za siku hiyo na nimejiridhisha ni kweli baada ya kusomwa dua wabunge wa kambi ya upinzani walianza kutoka nje ya bunge na mbunge Anatropia alipita sehemu aliyokaa Goodluck na kumvua kofia aliyokuwa amevaa na kisha kutokanayo nje ya bunge‘ –Dk. Tulia Ackson
‘Kitendo hicho kilikuwa cha kudharau kiti cha spika pia kilikuwa kitendo cha fujo ndani ya ukumbi wabunge, nachukua hatua ya kutoa onyo kali kwa mbunge Anatropia kwamba kitendo alichokifanyi ni ukiukwaji wa sheria za bunge na endapo atarudia sheria mahususi zitachukuliwa‘ –Dk. Tulia Ackson
Full video nimekusogezea hapa chini unaweza kuitazama...
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nasikia kutapika na habari
ReplyDeleteHii hakuna cha maana cha kuzingumizia
Aliyevaa kanzu ni mwislam au kulikuwa na shughuli ya kiislam
Alivaa kama fashion
Na avae hijabu na dira tujuwe moja
Fyuu
ReplyDeleteIla yeye alipoita wabunge wa viti maalumu wa ukawa haikuwa kosa
Hivi yeye na hao aliowaita baby
Nani bora
Yeye karithi ubunge toka kwa mama yak marehemu sasa Nani baby yeye au ,,,,,,,,
Mtafukuza wote lakini iko siku yatakuwa Kama uk kutoja EU