AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naibu Spika ameyasema hayo baada ya kumalizika kusomwa kwa bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2016 & 2017 na kusisitiza kwamba Naibu Spika ni mzima na anawatakia watanzania mfungo mwema wa mwezi wa Ramadhani.
''Kumekuwa na uzushi mkubwa kuhusu afya yake, ni kweli alikwenda India kwa ajili ya kupata matibabu kama alivyoambiwa na daktari wake alipotoka huko mwaka jana'' amesema Naibu Spika Tulia.
Aidha Naibu Spika amesisitiza kwamba Spika wa Bunge bado anaendelea kuwasiliana na viongozi wa serikali pamoja na baadhi ya wananchi wa jimbo lake.
Hata hivyo Naibu Spika amewataka wananchi kuendelea kumuombea ili aweze kurejea salama kuendelea na kazi zake kama kawaida.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mungu atakupa afya urudi salama salimini, Ulitumikie taifa.
ReplyDeleteGet well Soon Job Ndugai, The Speaker of Tanzania Parliament
ReplyDelete