AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meredith McIver amekiri kuwa ndiye aliyemsaidia mkewe Trump, Melania katika uandishi wa hotuba hiyo iliyovutia hisia kali kwenye mitandao ya kijamii kote duniani huku wengi wakimkosoa kwa kuiga dhana ya bi Obama.
McIver amesema kuwa alikiri makosa yake na akaomba ruhusa ajiuzulu lakini ombi lake limekataliwa.
Mke wa Trump adaiwa kumuiga Michelle Obama
Sherehe ya ufunguzi wa kongamano kuu la wajumbe wa chama cha Republican nchini Marekani iligubikwa na utata hapo jana baada ya hotuba iliyotolewa na mke wa Donald Trump Melani kufanana na ile ya ya mke wa Rais Barack Obama, Michelle, aliyoitoa miaka minane iliyopita.
Mke huyo wa Trump, ambaye ni mzaliwa wa Slovenia, amekiri kuwa alipata usaidizi mdogo katika uandishi wa hotuba hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tanzania tumeyazoweya
ReplyDeleteMwaka Jana ccm iiliba nembo ya chadema kweupe
Was no action
Poleni USA