Mtumishi wa Takukuru Auwawa na Kisha kulawitiwa Manyara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Taarifa za mauaji wilaya kiteto Mkoa Manyara binti knobs ajulikanae kwa  jina la Eva aliyekuwa akifanya kazi Pccb (Takukuru) ameuawa na mtu asiyefahamika nyumbani kwake na Kulawitiwa na kisha Kuuwawa. upelelezi bado unaendelea na Mshukiwa mmoja mikononi mwa polisi kwa upelelezi zaidi. M/mungu ailaze roho ya marehemu peponi Amin...
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kazi nyingine majanga da!! RIP

    ReplyDelete
  2. Kuna siku hao waliofanya upuuzi na unyama huu watajibu,kila watakalofanya litakuwa la moto mkali,watakuomba maji wajipoze watashindwa kwa maana kuna ukuta katikati yenu,R.I.P.

    ReplyDelete

Top Post Ad