AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa za mauaji wilaya kiteto Mkoa Manyara binti knobs ajulikanae kwa jina la Eva aliyekuwa akifanya kazi Pccb (Takukuru) ameuawa na mtu asiyefahamika nyumbani kwake na Kulawitiwa na kisha Kuuwawa. upelelezi bado unaendelea na Mshukiwa mmoja mikononi mwa polisi kwa upelelezi zaidi. M/mungu ailaze roho ya marehemu peponi Amin...
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Kazi nyingine majanga da!! RIP
ReplyDeleteKuna siku hao waliofanya upuuzi na unyama huu watajibu,kila watakalofanya litakuwa la moto mkali,watakuomba maji wajipoze watashindwa kwa maana kuna ukuta katikati yenu,R.I.P.
ReplyDelete