Raymond: ‘Natafuta Kiki’ inakwamishwa na wasanii niliowataja katika wimbo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki kutoka WCB, Raymond aka RayVanny ameitaja sababu kubwa ya kuchelewa kwa video ya wimbo wake ‘Natafuta Kiki’ kuwa ni baadhi ya wasanii aliowataja kwenye wimbo huo kushindwa kuonesha ushirikiano.

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Clouds E cha Clouds TV kuwa baadhi ya wasanii aliowataja kwenye wimbo wake ‘Natafuta Kiki’ wamekuwa wagumu kupatikana.

Aidha Raymond ameongeza kuwa menejimenti yake ilimleta director kutoka nje lakini baada ya baadhi ya wasanii kushindwa kuonesha ushirikiano wakamruhusu kurudi kwao kwanza.

Kutokana na mashabiki wengi kuwa na hamu ya kuiona video ya wimbo huo, Raymond ameachia video ya wimbo huo ikiwa ni Guitar Version. Hata hivyo Raymond amedai video hiyo itafanyika japo hajataja itachukuwa muda gani.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad