AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
UVCCM wameionya BAVICHA kuhusu mpango wao wa kutaka kukusanyika mjini Dodoma siku hiyo kwa lengo la kuzuia mkutano huo kwa madai kuwa unakiuka amri halali ya polisi ya kupiga marufuku kufanyika kwa mikutano yote ya kisiasa nchini.
Onyo hiyo limetolewa na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, Shaka Hamda Shaka ambaye aliwaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa watawakabili kwa nguvu zote BAVICHA endapo wataamua kuendesha siasa zinazolenga kuvuruga amani na kuleta hofu katika jamii na kutishia maisha.
Alisema umoja huo hautaona shaka kutumia mbinu zilizotumiwa na wapiganaji wa Maumau miongo kadhaa iliyopita nchini Kenya.
“Hatutaona muhali kupita njia zilizotumiwa na wapiganaji wa Maumau wa Kenya ili kukihami chama, kulinda viongozi wake na kupigania hadhi na heshima yetu,” alisema Kaimu Katibu Mkuu huyo wa UVCCM.
CCM inatarajia kufanya mkutano mkuu maalum Julai 23 mwaka huu ambapo Rais John Magufuli atakabidhiwa rasmi uenyekiti wa chama hicho kutoka kwa mtangulizi wake, Dk. Jakaya Kikwete.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Weweeeee Shaka , wacha hiyo , comparing Mau Mau youth with Wimps ??? come on , most of you have never heard a Gunshot ,let alone holding a Gun , mbinu gani utatumia ? Mau Mau walikuwa wakipigana misituni na vita vya kushitukizia , Dodoma kuna Msitu ? wacheni Tisha toto zenu
ReplyDeleteKitisho hutishwa mwana mchanga hajiamili
ambae hajalingana , upambanuzi wa feli
watisha watu vijana , walokomaa Rijali
Mungu akupe Akili hilo usifanye tena !
Kazi ipo
ReplyDeleteSwali langu ni hili kwa polisi. Hili ni tangazo was I la kivita toka vijana wa CCM. Ms umau il ikuwa vita juu us msituni.bunfuki, visu. Mbona hsmjamsika. Katsngaza vita wazi hsfharani. Sngrkuwa Mbowe au zlisu. Mngemeita na kumeeka ndani.hizi dheria za kupendelea Ccm zinaonrkans wazi. Watu n.a. viongozi wanafikiri n.a. kuendesha nchi kichams (kiccm)
ReplyDeleteHoi ni hstsri n.a. inapasua nchi. No tano la kulichukulia izigo wa hali ys juu. Hawa vijana wa ccm wsmebwa n.a. uongozi wa juu, wanaojua wanakinga na hawatafanyiwa chochote. Hi maringo waliyonayo sababu serikali inawalea. Hawatskuws hodari kwsni kwo kila kitu nirahisi.
Mdau mimi nina wasiwasi na utanzania wako khaaa!! kiswahili gani hicho ulichokiandika hapo unasoma mtu mpaka unapata kizunguzungu kudadeki
Deletejeshi letu na serikali ikiruhusu mkutano huu nahakika watatengeneza uhasama baina ya watz,na hatar itakuja tokea cku c nyingi huko 2endako
ReplyDelete