AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwa niaba ya kamati hiyo, Mwenyekiti wa kamati Taifa, Shitindi Venance amesema kipindi cha mwisho wa mwezi huu wanafunzi wa elimu ya juu watatakiwa kufika katika vituo vyao vya kazi vilivyosambaa nchi nzima ili kuendelea kupata mafunzo kwa vitendo ila wamesikitishwa kwamba wakati wakijiandaa na hilo hakuna mchakato wowote unaoendelea kupelekea kupata fedha hizo, Shitindi amesema…….
>>>Mpaka sasa hivi tukiwa tumebakiwa na takribani siku tano kabla ya kufunga chuo hakuna hata karatasi za kusaini zilizotumwa vyuoni ili kukamilisha zoezi hilo na mchakato wa kusaini hukuchukua muda wa siku tatu mpaka tano
>>>Kutokana na ucheleweshaji huo tunatoa muda wa saa 72 kuanzia leo Jumamosi, mpaka Jumanne ya wiki ijayo kwa bodi ya mikopo kufikisha fedha za kujikimu wakati wa mafunzo kwa vitendo katika vyuo vyote hapa nchini ili wanafunzi waweze kusaini na kupokea malipo yao:-Shitindi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK