AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Nape Nnauye ametoa tamko hilo huku akizitaja tuhuma mbalimbali zikiwemo: Uchochezi, Uongo na Upotoshaji ambapo hazizingatii kanuni za taaluma ya uandishi wa habari.
Amri hiyo ya kulifungia gazeti la mseto imetokana na tangazo la Serikali namba 242 la tarehe 10/8/2016 kwa mujibu wa sheria ya magazeti ya mwaka 1976 sura 229 kifungu cha 25(1)
Aidha, Waziri Nape amesema gazeti hilo linaandika habari na taarifa za uongo ambazo zina nia ya kupotosha jamii ikiwa ni pamoja na kutumia nyaraka za serikali ambazo zimegushiwa ili kuwachafua viongozi wa serikali na seerikali yao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tanzania yetu hatutaki upuuzi ..uandishi ni Art iliyo namba tena na responsibility.. hawa waandishi waliipitia chuoni miezi mitatu na kupewa ajira baada ya Fulani kuwa Ana hela na anakuja na na Fulani wametuletra maagizo na wameijenga jamii kimtindo Fulani ili wa uweze kuuza majarida hiyo katika solo na kuleta vichwa vya habari siyo ndiyo ili kudumisha solokKiasi ambacho kubadilika itachukua mud a ..tukazane na kuboresha elimu.. maadili na ukweli ni vigezo muhimu..waandishi na wamiliki mnapaswa kuzingatia hilo
ReplyDeleteMMMMMMMMMMM!!!!KAZI KWELI KWELI
ReplyDelete