Isabela ala bata Uganda na Ex wa Aunt Ezekiel, Jack Pemba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aliyekuwa mpenzi wa msanii wa filamu Aunty Ezekiel, Jack Pemba ameonekana akila bata nchini Uganda na aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Luteni Karama, Isabela Mpanda.

Muimbaji huyo wa Kundi la Scorpion Girl pamoja na wenzake wapo nchini Uganda kwa ajili ya tuzo za Uganda Entertainment Award ambazo zinafanyika weekend hii.
AuntJack
Jack Pemba akiwa na mpenzi wake wa zamani Aunt Ezekiel

Mfanyabishara huyo maarufu ameithitishia Bongo5 kutoka na mrembo huyo.

“Wiki ijayo nakuja Dar es salaam, sasa hivi nipo na baby wangu, huyu ndio kila kitu kwangu,” alisema Jack Pemba.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyu jack pemba sura kama mumini mwijuma isabela sura kama betina

    ReplyDelete

Top Post Ad