AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mama huyo aliipata heshima millardayo.com na & Ayo TV kuyaongea :
Sio kwenye magazeti tu hata kwenye instagram kuhusu Diamond amjali Baba yake hawa watu wanaoandika hivyo wananikera sana ninaumia kwani Diamond kila mwezi anapeleka hela ya matumizi kwa Baba yake sasa sijui hayo maneno yanatoka wapi’
‘Mimi na Baba Diamond tunaongea muda mrefu hata ukisema nimpige utamsikia akiongea lakini nashangaa kutwa watu wanasema Naseeb hatoi huduma kwa Baba yake ni habari si za kweli, sasa hivi anakaa Kagera Dar es Salaam na siku hizi mbili nitaenda tena kumpelekea Chakula na nitaipost ili waone’
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ni baba alikuwa analalamika,na wengi walishuhudua kwa macho jinsi alivyokuwa anakosa huduma kutoka kwa Daimond.Sema mmeanza kushirikiana nae baada ya kuona mashabiki na wasio mashabiki wako wanakerwa na kukusakama tabia ya kumtenga baba ndio mmeona muanze huduma.HONGERA NA MUNGU AWABARIKI.
ReplyDeleteKwani matunzo ni lazima? Huyo baba ana watoto wengi tu sema kisa Diamond anajulikana basi anafikiri ndio kigezo cha kumlazimisha awe na mapenzi naye. Je alivyo mtelekeza Diamond wakati bado mtoto mdogo alikuwa anategemea nini? Je Diamond asingetoka kimziki akawa bado muuza mitumba ange jisumbua? Binadamu nyie ni wanafiki sana, mwenye maamuzi ya mwisho ni mtendwa siyo nyie watu baki.
DeleteMrudie basi wewe Sandra
ReplyDeleteMkumbushane ya The bilicana na Margort
Bi Sandra mrudie bibi mzaa chema sahau ya bilicana na Margort mlikuwa nyote watoto
DeleteKuleni raha nyote wawili
Kwani madale si una self contain room
Mwite mzazi mwezio mtese wote
Hata mama tiffa atafurahi maanake atakuwa busy na Domo na tiffa na wewe u busy na baba Domo
Wakienda south nyumba yenu
Swimming pool bi Sandra na baba Domo
Instagram , Facebook , Twitter
Zaagaza mipicha
Kunguru weusi wamwage radhi
Kuzaa kuzuri shoga
ngoja amrudie kwanza baba yako mzazi ndio ataenda kwingine.
Delete