AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kabla ya uteuzi huo Bw. Andrew Wilson Massawe alikuwa Mkurugenzi wa Mifumo ya Kompyuta katika Benki Kuu Tanzania (BOT).
Bw. Andrew Wilson Massawe anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt. Modestus Francis Kipilimba ambaye ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Uteuzi wa Bw. Andrew Wilson Massawe unaanza mara moja.
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es Salaam
25 Agosti, 2016
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Asante kwa taarifa.Ila daah,Baba kabana koo jamani.
ReplyDeleteYaani watu wameuza magari,wengine wameyaacha tu hasa wale wenye magari 3,4 kwenye familia moja sasa wameamua kutembelea gari moja badala ya kila mtu na gari lake,kisa mafuta,uwiiiiiiiiiii tunaisoma wote kwa kweli.HESHIMAAAAAAAAAAAAAAAA.CHEZEA HAPA KAZI TU.