Q Chief Azungumzia Ujio Wake Mpya Baada ya Kuweka Kambi ya Wiki Moja South Africa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwimbaji Q Chief amerejea nchini akitokea Afrika Kusini baada ya kuweka kambi nchini humo kwa wiki kadhaa kwa ajili ya kuandaa video yake mpya aliyoshoot na director mashuhuri, Justin Campos.

Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Q Chief amesema alienda kushoot video ya wimbo wake mpya Afrika Kusini ili kupata kitu kizuri.

“Mashabiki wasione ukimya, kuna mambo mazuri soon yanakuja, videos pamoja na mambo mengi mapya,” alisema Q Chief. “Nimetoka Afrika Kusini hivi karibuni kwa ajili ya video yangu mpya, nimefanya na Justin Campos, kwa hiyo mashabiki wakae mkao wa kula,”

Pia mwimbaji huyo amewashukuru mashabiki wake pamoja na media kwa kuendelea kusupport muziki wake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Q-CHIEF UKO JUU KAKA
    LINI ITATOKA VIDEO MPYA. SHABIKI WAKO KUTOKA OMAN

    ReplyDelete

Top Post Ad