AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Mimi namsikiliza Diamond,” anasema Vera. “Style yake tofauti kisha nzuri, kisha naona kuwa amejikakamua anatoa hits after hits hatulii, yeye hutia bidii kila siku. Halafu pia si muziki peke yake, ameweza kusaidia vijana kuwapatia nafasi ya ku-explore talent zao, kama sasa hivi yuko na artists ambao wako chini yake which is a good thing,” ameongeza.
Vera amedai pia kuwa anampenda Diamond kwasababu ni baba mzuri na anayetimiza majukumu yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huyo demu yuko Tanzania sasa hivi, na ingelikuwa wakati wa Utawala wa Kikwete most likely angekuwa kaisha karibishwa pale Ikulu. Dah hiyo Ikulu ilikuwa uvundo wa kila kitu, akina Diamond pamoja na Ali Kiba na Wema Sepetu duh aiseee. Hiyo Nchi ilikwisha oza vibaya sana. Thanks GOD amekuja Mheshimiwa Magufuli ambaye ameifanya Ikulu irudi mahala pake, yaani sehemu Takatifu kama alivyowahi kutamka Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
ReplyDeleteBig 5 Vera kwa ufasaha wa lugha ulivyojibu swali. Nime admire kiswahili na kiingereza chako
ReplyDelete