Huenda Idris Elba Akawa James Bond Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Idris Elba ni miongoni mwa majina yaliyoingia kwenye orodha ya mwisho ya waigizaji wanaotazamiwa kuchukua nafasi ya James Bond, mpya.

Muigizaji huyo, 43, ametangazwa kuwa mmoja wa waigizaji wanaoweza kuchukua nafasi ya Daniel Craig anayetaka kujiondoa.

Chanzo kimoja kimeliambia gazeti la The Sun:

To get anyone to take over from Daniel will be a tough job. There will be a lot of trepidation about a new Bond, but Idris’ talent and proven appeal gives executives a lot of heart. Idris may be a little older than the other candidates but he looks like he is still in his 30s. MGM are confident that they are in a pretty strong place with a raft of talent available.

Wengine walioingia kwenye orodha hiyo ni pamoja na Aidan Turner, Luke Evans, na Tom Hiddleston.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad