Video: Diamond na Ne-Yo washoot video ya wimbo wao ‘Marry You’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hatimaye Diamond na Ne-Yo wameshoot video ya wimbo wao, Marry You.

Video imefanyika jijini Los Angeles, Marekani. Wimbo huo ulirekodiwa kitambo baada ya Diamond kumfuata Ne-Yo Nairobi alikoenda kwenye kipindi cha Coke Studio Afrika, msimu wa tatu.

Baada ya hapo wawili hao walikutana tena Marekani kumalizia baadhi ya vipande. Mwezi May, Ne-Yo na Diamond waliuimba wimbo huo pamoja kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, kwenye tamasha la Jembeka.

Tazama Video Hapa:
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hizo hela si za Shein, Tafadhali. Personal attack toka kwa Raisi direct kwa Wananchi hii tafadhali sana si siasa. Hii ni kumatack mtu mbele ya umma. .Badala ya kuongea facts Kiongozi wa chama anadharaliwa hadharani kwa shangwe Nauliza ndio hivi Raisi anajenga muungano kuwasimanga watu wasiounga mkono fikra na matendo , huu si uungwana jamani. Ni sawa na aliyekataa mkono hakuna tofauti.Fedha za kupewa na watu wa nje ni kwa sababu ya kusimamia vibaya mali zetu za umma. Na hawa wanaotoa misaada ndo wanaodharalisha Taifa. Ni aibu kumbeza Mtanzania anayetaka kujikwamua na kuwakwamua Wazanzibari na kumpaza mtu anayetoa misaada. Hatawaheshimu Watanzania hata. Hivi wanauchumi hamna uhauri kwa Raisi na mikutano na maneno kama haya? Mgeni gani aje na kumponyesha mwenyeji, Ni mwenyeji tu Ataijenga nchi yake sababu anauchungu na nchi yake.Hii hoyuba, Naomba Watanzania waisikilize, Wazee, Wanasiasa, Waichambue. Mtaliona ninalolizungumza. Ni mimi, mimi, mimi.Badala ya kusifu na kuwakweza Watanzania wajisikie unawajali na wanashiriki na wanauhuru wa kujipangia maendeleo yao.Hotuba nzima imemlenga mtu.Ulaya hawapeani mikono wasipopenda. na Ulaya si ya kuigwa. Afrika inamila zetu nzuri tu. Lakini hamzijali wala kuziheshimu. Si wawekezaji bali Wazanzibari.Itakuwa vigumu kuhutubia mataifa kwa mtindo huu kama kiongozi wa nchi.Vita vya nchi ni ndiyo vinaletwa bila kukijua kinachoendelea. Na viongozi wetu wengi bado hawajui tatizo linalotukali Africa. Kamanda anasema piga.Nchi iende kimabavu. Maendeleo hayataletwa hivi. Huyu Abedi Karume ameacha Ujumbe CCM ilimtenga mpaka aliposhikwa na Mauti. Leo amekufa na Jumbe pia, tunayatumia majina yao vibaya.Wanaacha kuongea sababu wanapigwa, wanaonewa.Kusema ni rahisi, vitendo haviendani na maneno. Kunyima mkono si sawa na kuua, kupiga, kuvizia.

    ReplyDelete

Top Post Ad