AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa kuwa habari hizo zimehusisha hatua hiyo ya NHC na itikadi au msimamo wa kisiasa wa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye ni mmoja wa wanahisa wa Mbowe Hotels Ltd ambayo ni mmiliki wa rasilimali hizo zilizovamiwa (Ofisi za Free Media na Club Billicanas) na waandishi wa habari wametutafuta kutaka kauli ya chama juu ya suala hilo;
Katika hatua ya sasa, tunapenda kusema kuwa Chama kitalitolea msimamo suala hilo baada ya kuwasiliana na kushauriana na wanasheria wa Mwenyekiti Mbowe ambao wanalisimamia na kulifanyia kazi suala hilo mahakamani.
Imetolewa, Sept' 2, 2016 na;
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
CHADEMA
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hivi waTZ ni masikini wa akili kiasi hiki??? Mtatufanya hata tusijitambulishe kama ni waTZ kwani mhhh
ReplyDeleteBiashara za mwanachama au mwenyekiti wa chama zinahusikaje na chama,, hata msemaji wa chama hajui cha kusema kwani waliomuuliza na mataila na aliyejibu sijui ni naniii
Ama kweli!! Huvyo tunajielewa ama tunachanganya kama tulivyo changanyikiwa? Chana na Deni la Mjengo wapi na wapi!! Una deni unalipa kama hukulipa utalipishwa!! au ndiyo siasa hizi za uchwara iwe ndiyo ngome na kinga mimi myakiti!! kiti gani hicho au kigoda cha miguu mitatu!! msichanganye mambo mkafikiri mtatuchanganya.. Tuko na fahamu zetu timamu hatutaki upuuzi wenu. Kaeni nao wenyewe wala msituletee katika mitandao yetu tunayo blogu.. Hapa ni Kazi tu..
ReplyDeleteMaajabu haya! Kwani Mbowe ni Chadema AU Chadema ni Mbowe? Mnatuchanganya changanya sasa sisi wanachama au chama ni sisi... Tuelimisheni makada. Mnanichosha!! siwaelewi au mimi sielewi?
ReplyDeleteMwenyekiti wetu mpenzi
DeleteWewe na hao unawawakilisha
Wajinga na wapumbavu Kama
Huyo ngaliba wenu m fool
Maajabu haya! Kwani Mbowe ni Chadema AU Chadema ni Mbowe? Mnatuchanganya changanya sasa sisi wanachama au chama ni sisi... Tuelimisheni makada. Mnanichosha!! siwaelewi au mimi sielewi? au sijielewi au HAMJIELEWI.... MAGU PUNGUZA SPIDI .. WANAPATA DAFRAU MAHUTUTI Hivi sasa... HAPA KAZI TU
ReplyDeleteMaajabu haya! Kwani Mbowe ni Chadema AU Chadema ni Mbowe? Mnatuchanganya changanya sasa sisi wanachama au chama ni sisi... Tuelimisheni makada. Mnanichosha!! siwaelewi au mimi sielewi? au sijielewi au HAMJIELEWI.... MAGU PUNGUZA SPIDI .. WANAPATA DAFRAU MAHUTUTI Hivi sasa... HAPA KAZI TU
ReplyDeleteImakuwa siasa tena anadaiwa hadaiwi mlipieni yaishe
ReplyDeleteHaya chadema mchangieni huyo Mungu wenu anaumbuka. Fuata sheria usalimike. Mtu mzima ovyooo
ReplyDeletePumbavu ni wewe
DeleteKama m fool ??!?
Akili Watanzania wengi finyu. Ni taifa lisilofikiri ndio maana tunatawaliwa kwa kiwango cha chini.Pata elimu ujue haki yako na uwe huru.Hata mkilazimishwa kuwaogopa na kuwatii viongozi mtatii.
ReplyDeleteEnter your comment...hapo chama kinahusikaje jamani
ReplyDeleteJenga UKUTA vunja MLANGO........shubbhamit!
ReplyDeleteShabashhhhh , Watanyooka tu,,...Bado wanalimbikiza madeni yetu ya Maendeleo na Filimbi nyingi!! Jamani Huko TRA yuko Salama???? Mchezo mchezo wa Madili hatutaki Ujanja Ujanja Tumeukataaaaaaaaaa... Nguvu Jasho Tu.
ReplyDeleteInazidi kunitia wasa wasi, Ikiwa Pango anatuibia hivi. Je KODI HUKO TRA AMESALIMIKA HUYU!!!!!!!! Naomba arudishwe katika uaminifu kabla hatujafikia ukingoni mwa ukuta. Mwisho ni madongo polomoka... TRA Kazi mnayo na kurudia ulipaji halali na mapitio ni Wajibu wenu na lengo ni ukusanyaji halali. MAGUMASHI NA DILI... HATUZITAKI NA TUMELIKATAA HILO. Wachapa kazi ingieni Kazini.. Hapa Kazi Tu
ReplyDelete