AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Mwananchi hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji alisema chama hicho hakina mpango wa kuhamia Dodoma kwa sababu hayo ni masuala ya kisiasa yasiyo na msingi kiuhalisia.
“Sisi makao yetu makuu yapo Dar es Salaam, hata katiba yetu ndivyo inavyosema, tutaendelea kuwa hapahapa. Hayo ni mambo ya kisiasa yasiyo na misingi ya kiuhalisia, hata mazingira hayaruhusu, kwa hiyo sisi tutaendelea kuwa hapa (Dar es Salaam),” alisema Dk Mashinji.
Chama cha ACT Wazalendo kilisema kuifanya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi ni miongoni mwa ajenda zake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Makao Makuu ya CHADEMA kuhamia ARUSHA ni bomba sana kwani viongozi wote wa ngazi ya juu kwa 99% tunatokea Arusha hivyo kuhamishia makao ya chama chetu Arusha itatusaidia sisi kufanyia kazi nyumbani au karibu sana na nyumbani
ReplyDeleteJamani Halima Mdee yuko wapi tuna m-miss sana mwanaharakati wetu.
Msenge wewe na mama yako
DeleteUhamie usihamie mimi nimesharudisha Kadi ile ya chadema.. Baada ya kuona Vioja vya miliowapa kura na kukimbia vikao wanaingia misheni tauni kufanya madili yao huku hawaniwakilishi.. Isiwe tabu mkae hai au matombo na ikibidi hata msolwa nyie kaeni tuu. Hamzidishi wala...............nguzi. Magu Kazi buti na spidi ile ile. Mungu akulinde JPJM
ReplyDeleteChadema haiwahusu kuhamia Dodoma ni hiari yao kuhamia sasa hilo la kugoma linatoka wapi ingekuwa wameambiwa kuhama hapo sawa suala la kugoma lingewahusu
ReplyDeleteMbona Chadema wanarukia rukia kila kitu lazima waseme inawahusu nini ya kuhamia Dodoma na wamekuwa serikali
ReplyDeleteKitu cha kushangaza Chadema nikung'ang'ania vitu visivyo kuwa na msingi wanachofikiria sasa kuwa magazeti yanawabeba na kuwapa umaarufu kwa kuwapambia habari zao kumbe ndo wanawamaliza kabisa kisiasa Duh jamani watu walishaichoka Chadema na mavituko yao inaonekana kama chama cha kitoto ingawa kuna watu wazee na akili zao wameshindwa kugeuza upepo yaani chama kinameguka wakikumbuka shuka kumeshakucha
ReplyDelete