Mbunge wa Tarime John Heche Ashawishi Bunge Kuridhia Posho za Kikao cha leo Zipelekwe Kwa Wahanga wa Tetemeko

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Tarime John Heche (UKAWA-Chadema) amefanikiwa kulishawishi bunge kuridhia posho za leo tarehe 13 za wabunge zipelekwe kagera kwa wahanga wa Tetemeko.
Katika hoja yake mbunge huyo machachari amewataka wabunge waondoe tofauti zao na kukubali posho zote za wabunge leo zikasaidie wahanga hao wa tetemeko.
Wabunge wote kwa pamoja bila kujali tofauti zao wameridhia hoja hiyo kwa asilimia mia moja
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. MUNGU AWABARIKI SANA,

    ReplyDelete
  2. Safiii kumbe mnajifaham? Sasa kwanini hua mnajitoa akili hivyo ndivyo uongozi mzuri. Safiii sana lazima mue kitu kimoja

    ReplyDelete
  3. Mungu awabariki sana, good idea

    ReplyDelete

Top Post Ad