AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mr Blue alisema haya kupitia kipindi cha eNewz ya EATV alipokuwa akifafanua juu ya taarifa zilizokuwa zimezagaa mtaani kuwa alimpigia simu aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Naj ndipo hapo aliposema hawezi kurudia matapishi aliyokwisha yatapika.
"Niliongea na Baraka The Prince alisema kuwa wao hawakufanya hilo jambo, lakini kama wangekuwa ni wao lazima ningetafuta njia ya kuwashikisha adabu maana huko ni kuharibiana. Mimi saizi nimeshakuwa mtu mzima siwezi kurudia matapishi ambayo nilishakwisha yatapika mwanzo' alisema Mr Blue.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK