Producer Nahreel Aelekezea Jinsi Alivyokutana na Mpenzi Wake Aika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Add caption
Tunapohitaji kuzungumzia moja kati ya couples za mastaa wa kibongo  zenye muonekano wa kupendeza kwenye macho ya mashabiki na jamii kwa ujumla,lazima utapata list ndefu yenye majina makubwa kama   DAIMOND na ZARI au JUX na VANESSA na wengine kibao


Ila moja kati ya Bombastic couple in town ni ya AIKA na NAHREEL kwa pamoja wanaitwa NAVY KENZO mara kadhaa tumemskia AIKA akielezea namna walivyokutana sasa kwa mara ya kwanza NAHREEL aeleza namna walivyo kutana yeye na mpenzi wake huyo,Nahreel aliongea hayo walipokua katika moja ya show za fiesta mara alipopata nafasi ya kuongea na wanafunzi huko bukoba.


“Aliwaambia wanafunzi, nilikutana naye shule, na mimi nikawaambia, na sasa tunatumia akili yetu ya shule kufanya mziki
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ni bonge la couple kwa tz zingine zote cha mtoto!!!! kwa upande wa wasanii

    ReplyDelete

Top Post Ad