SOMA Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya Septemba 2, Ikiwemo ya Magufuli Kuchapa Noti Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Nape Nnauye kutangaza kuvifungia kwa muda usiojulikana vituo viwili vya redio, Radio 5 na Magic FM kwa tuhuma za uchochezi, Radio 5 wametoa kauli kwa mashabiki wake juu ya tukio hilo.

Radio 5 kupitia facebook, wametoa taarifa hii.

Good Morning Tanzania.

Habarini Wapendwa wetu kupitia Mitandao yetu ya Kijamii. Baada ya Kimya cha Siku kadhaa Tumerudi Rasmi kuendelea Kukuhabarisha Wewe Mpendwa Msikilizaji / Mfuatiliaji wa Radio 5.

Tunapenda Kuthibitisha kuwa Hatutakua Hewani kwa Kipindi ambacho Bado Hakijulikani, Baada ya Kujiridhisha Ya Kuwa Tumefungiwa “Kurusha Matangazo Hewani” ila bado tunaruhusiwa Kuendelea Kuwahabarisha kupitia Mitandao Yetu ya Kijamii, hivyo Tunapenda Kuchukua Nafasi hii Kuwashukuru Nyie kwa Kuendelea Kuwa Nasi katika Kipindi Hiki Kigumu na Kifupi.

Endelea Kupata Taarifa na Matukio yote (Habari, Burudani, Michezo n.k) Yanayojiri Hapa Nchini na Nje ya Nchi Kupitia Kurasa Zetu za Facebook, Twitter na Instagram ambapo Kote Tunapatikana kupitia @Radio5tz .

Kaa Mkao wa Kula Kuna Mengi Mazuri Yanakuja Kupitia Kurasa Hizi. Ahsanteni Sana kwa Suppoti Yenu na Endeleeni Kuwa Nasi.
Tunashukuru.
#Radio5tz
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad