AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Queen Tipha amekiambia kipindi cha Clouds E cha Clouds TV kuwa hakushtuka baada ya kuona picha hizo kwa kuwa mpenzi wake huyo alikuwa kazini.
“Nimeamka asubuhi nikaona watu wengi wamenitag, nilichukulia kawaida kwa sababu ni mtu ambaye ninamuamini na aliniaga kuwa anaenda kazini,” amesema Queen Tipha.
“Sikuona kama ni kitu cha ajabu kwa kuwa yule ni msanii mwenzake na rafiki yake pia. Nimechukulia kawaida tofauti na watu wanavyofikiria,” ameongeza. Queen Tipha aliwahi kuwa mshindi wa pili kwenye Miss Tanzania 2013 na wamefanikiwa kuzaa mtoto mmoja na mpenzi wake Ben Pol.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Safi sanaa queen Tipha,
ReplyDeletehalafu sio kwa snura,snura anajiheshimu sana na hana makandokando kama wakina ................
Wewe Dada sikujui ila popote ulipo Big up na High Five.... Wakomeshe wambea wa Instagram.....Na mambo yako na familia yako sio uyasambaze kwenye News Media kutafuta people attention.....😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
ReplyDelete