AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa hiyo ni ya uchochezi inayolenga kuliweka Taifa kwenye taharuki. Mhe. Makamu wa Rais yuko bega kwa bega na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kufanya kazi zao kwa mujibu wa Katiba ya nchi ili kuwaletea wananchi maendeleo.
Ofisi ya Makamu wa Rais inawataka wananchi na Watanzania kwa ujumla kupuuza taarifa hiyo ambayo inalenga kupotosha umma kuhusu ushirikiano mzuri uliopo baina ya Viongozi wetu.
Mwisho, Ofisi ya Makamu wa Rais inawasihi Watanzania kufanya kazi kwa bidii na wajiepushe na vitendo vinavyolenga kuvuruga amani na utulivu nchini.
Imetolewa na
Ofisi ya Makamu wa Rais
Dar es Salaam
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huyo aliyeanzisha tu ndio akamatwe na kushughulikiwa haraka!
ReplyDeleteMwaka huu tutaona mengi na kusikia mengi
ReplyDeleteMkono wa maalim Seif unawatesa CCM
ReplyDeleteNa bado tafuteni kila sababu na viroja
Tumeshoka kuwa gagulo Tanganyika
Marais wote Tanganyika
Fyuuu tuacheni na kisiwa chetu
Tunajuwa ana na tuna sameheana
Hatuna jazba
Bali tuna pashana kulingana na mila zetu na desturi zetu
Tunashangaa wanaoparamia mambo
Kiswahili kigumu
Enter your comment...ila mbona barua haina kumb no signature wala muhurii!! ðŸ˜
ReplyDelete