AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akitoa neno kwa niaba ya wasanii wenzake katika harusi ya Shamsa Ford iliyofanyika Sinza Afrikasana Ijumaa iliyopita, Steve Nyerere aliwaabarisha wasanii wenzake kuwa ataoa Januari 2017.
“Mimi sina maneno mengi yakusema zaidi ya kuwapongeza na kuwaombea muishi salama, pia mungu akipenda na mimi nitafunga ndoa Januari,” alisema Steve.
Baada ya kusema kauli hiyo, kuliibuka shangwe kutoka kwa wasanii ambao walihudhuria ndoa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Subiri upate ukuu wa wilaya ndo uoe
ReplyDeleteMagu anapitia jina lako
Kuna vikwongwe wengi wanastaafu karibuni