AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa hizo zimeenda mbali na kueleza kuwa, muda huu kuna kikao kinafanyika juu ya uamuzi wa ACT kumchukua Prof. Lipumba na kuwa mwenyekiti wa sasa wa ACT, Mama Anna Mghwira ajiandae kupisha nafasi hiyo.
Chama cha ACT- Wazalendo hakijatoa taarifa yoyote kuhusu tetesi hizi na wala Prof. Lipumba hajazungumza juu ya hili.
Tunaendelea kufuatilia ukweli juu ya taarifa hizi, endelea kuwa nasi kwa taarifa kamili.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mchumia tumbo katika ubora wake Tanzania tumekosa wapinzani WA kweli wote Ni wapiga dili naichukia siasa ndo inaharibu nchi yetu,
ReplyDeleteWatanzania hivi hawa ni kweli wanachama wa vyama vyetu au ni Kama wacheza mpira ambao huhamia kwenye masilahi Yao
ReplyDeleteSiasa za Tanzania zinatia kichefuchefu
Huko watampokea walai yesu wangu chadema hata she na mabiliions ya dola hatumtaki ngooooo
Watanzania hivi hawa ni kweli wanachama wa vyama vyetu au ni Kama wacheza mpira ambao huhamia kwenye masilahi Yao
ReplyDeleteSiasa za Tanzania zinatia kichefuchefu
Huko watampokea walai yesu wangu chadema hata she na mabiliions ya dola hatumtaki ngooooo
hapo sawa nenda usirudi kabisa tuachie cuf yetu,wewe si ulijiuzuru bwana?nenda kila kheri zito kabwe na hilo joka.
ReplyDeleteHureeeeeeeeeeee!
ReplyDelete