AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni ukweli usiopingika kuwa Wema amekuwa akihangaika mara nyingi huku na kule ili apate mtoto lakini mambo bado yamekuwa yakienda kombo kwa kuishia kuumia huku baadhi ya watu wakimkejeli kwa matusi wakisahau jambo la kupata mtoto ni neema ya Mungu pekee.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, Wema Sepetu ameweka picha ya Blac Chyna mwenye ujauzito inayomuonyesha sehemu yake ya tumbo na kuandika, “Na ningeomba mfunge kweli account zenu ikifika hii hali…. Mxxxxxxiiiuee.”
Mapema mwaka huu ilidaiwa kuwa Wema ana ujauzito wa Idris Sultan lakini baada ya muda walitoa taarifa za kutoka kwa ujauzito huo japo haijajulikana kama ilikuwa ni kweli au ni kiki. Usikate tamaa madam Wema ipo siku machozi yako yatageuka furaha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Umezidi nawe
ReplyDeleteFyuuuuu