AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji maarufu nchini asiyekaukwa na scandal, wema Isaac sepetu, hivi karibuni ameibuka na kuwataka wote wanaotumia mitandao ya kijamii kumsapoti( team wema) kuanzia Leo waache kwani hawajui na wamekua wakimuaribia sana maisha yake, mrembo huyo aliendelea kutiririka kuwa team hizo zimekua zikimgombanisha na watu wengi na kuwa asilimia nyingi ni wanafiki, hivyo amewaomba wote wanajiita team wema waache mara moja na waanze kutumia majina yao kwenye mitandao ya kijamii.
Bonyeza Hapa Chini Kumsikiliza:
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ndo umeshtuka leo..wema mm ni die hard fan wako lakn hujitambui wewe yani hujawahi kujitambua hata mara moja..leo utasema sitaki team wema kesho utakuwa nao kwenye vigoma...wat the fuck...unataka nn..kama ulikuwa hutaki team wema ulipaswa kuanza kuwaonya from the beginning...now its too late dia wataendelea kukutumia bkz yu dont who yu are...stupid..unaniudhi sana we binti...
ReplyDeleteMZIMU WA KANUMBA UJE UISHE NI LEO KWELI?
ReplyDelete