AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wema amepigilia msumari wa moto kwa kupost picha ya mchekeshaji wa Marekani, Kevin Hart ambaye anawania nafasi ya kuhost kwenye tuzo za MTV MAMA mwaka huu na Idris Sultan kama mwanaunme anayempenda #MCM (Man Crush Monday. “MCM….😏😏😏,” ameandika Wema kwenye picha hiyo.
Kitendo hicho cha madam Sepetunga kimetafsiriwa ni kama anampigia chapuo mchekeshaji huyo wa Marekani kushinda nafasi hiyo na kumponda kiaina ex wake, Idris.
Hivi karibuni wawili hao walionekana mahusiano yao kuingia doa na Idris akijikuta akiifunga akaunti yake ya Instagram kwa muda baada ya kuambulia matusi kutoka kwa watu wanaojiita ni Team Wema.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
bongo bado sana,yaani mnaombeana njaa wenyewe kwa wenyewe,pumbafu sana.Ndio maana wakenya wanatucheka.
ReplyDelete