Crazy GK Adai Kweli Alikiba ni Mfalme wa Mziki....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkongwe huyo wa mziki ameyasema maneno hayo katika kipindi cha MY PLAYLIST knachotushwa na clouds tv, aidha amesema kuwa Alikiba ni mwanamziki anaejielewa, mwenye sauti nzuri na anejua kuitumia vilivo, ametumia muda huo kuongelea wimbo wa AJE kwa kusema kua ni wimbo ambao hauchuji haraka kama wengine, pia amesema kua wimbo wa AJE kila siku ukiutizama na kuusikiliza unagundua kitu kipya tofauti na ulichoona au kusikiliza jana.

Hongera mfalme Kiba kwa kutoa nyimbo zisizochuja haraka kama wale pia kupongezwa na wanamziki wakongwe wanaojua historia ya mziki wa bongo na walio kwenye mziki muda mrefu kama GK.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. thats very true 100% he is he really is Thats why he is called KING KIBA sauti ya kipeke

    ReplyDelete

Top Post Ad