AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond Platnumz akiongea katika kipindi cha The play list cha Radio Times Fm na mtangazaji Lil Ommy baada ya kuulizwa ni model gani amewahi kumlipa hela nyingi.
“Zari ndo mtu ni mlipa hela nyingi katika video ya “Utanipenda” unajua hata kama ni Family ni mpenzi wangu lakini inapokuja kazi lazima iwe kazi japo kuwa nilicho mlipa haikuwa thamani yake japo alifanyia kidogo fever lakini nilimlipa zaidi ya Milion kumi ndo model ambaye nimewahi kutoa hela nyingi tokea nimeanza kufanya muziku” alisema Diamond.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hata ukidanganya huyo hatobisha, ndo maana.
ReplyDeleteKama Mimi tu kukujib nimekosa kaz vilivile ulitoa coment kwa kukosa kaz
DeleteKama Mimi tu kukujib nimekosa kaz vilivile ulitoa coment kwa kukosa kaz
DeleteBi leba kasharudi ug. Hamisa rudi Madale ukaache cheni na chupi. kashadanganywa kanunuliwa nyumba kumbe jina si lake. chezea Domo!
ReplyDeleteSi mama yako anatosha pale madale, inaoneka umetokea kwenye dhiki kali poyeee
Deleteyaani ni sawasawa unamlipa hela ili umtombe, utamlipaje hela mtu aliye mpenzi wako na yeye kwa nini apokee hela kisa ameonekana kwenye video kama kweli anakupenda angeweza kuonekana bure katika video bila malipo, hapo kweli inaelekea Zari yuko na wewe kwa ajili ya kukuchuna pesa tu na wala sio kitu kingine na ndiyo maana anakuzalia watoto fasta fasta ili baadaye mkiachana atakuja kukuchuna hela za malezi ya watoto mpaka utafilisika hela zote zitaishia kulipa hela ya malezi kwa watoto, we angalia huyo jamaa yake wa zamani kamzalia watoto kibao sasa hivi anafaidika na hizo hela anazopata za malezi kutoka kwa yuke jamaa
ReplyDeleteUshindwe. Walaaah huyajui na walaaah hayakuhusu bali povu tu linakutoka
Deleteanony 5.31pm we mwenyewe unatiwa kwa hela, sema dhiki yako mbayaaa
DeleteHaya bwanaaa ni vema sana, ila Dai, muunganishe Saida Kalori kwenye wasafi (WCB)yako bwana ili mpige kazi... mtoto kumsaidia mama siyo mbaya ati...
ReplyDeleteWa kulipwa pesa nyingi ni bi Sandra maana ndie aliechukua picha nzima ya nyimbo na aliyevutia huyo Zari aliweka pozi nyingi mpaka akachukiza
ReplyDeleteits better you keep quite she dont deserve even a peny bila miwigi na makeup she is not in the list ya beauty
ReplyDeletempe Dai mama yako basi, yeye si ndio mzuri ha ha ha aha akili ndogo njaa nyingi
Delete