AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hiyo ni baada ya watu wengi kudai kuwa ndio chanzo cha kuvamiwa Jumatatu hii jijini Paris na kuporwa mali zenye thamani za dola milioni 11 kwa mtutu wa bunduki.
Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Kim amekubali ni kweli alikuwa amezidisha kuringishia mali zake kwenye mitandao hiyo. Muda mfupi kabla ya kuvamiwa, Kim aliionesha pete ya $4.5m aliyonunuliwa na mume wake Kanye West. Pete hiyo ilikuwa miongoni mwa vitu vilivyoibwa.
TMZ imedai kuwa Kim atakuwa mapumzikoni mwa mwezi mmoja na akirejea atakuwa na mabadiliko makubwa katika jinsi anavyotumia mitandao ya kijamii.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
SIFA ZILIZIDI SANA!
ReplyDelete