AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi karibuni mwimbaji huyo alidaiwa kuwa anatoka na model wa kwenye video yake mpya ya Salome, Hamisa Mobetto kitu ambacho muimbaji huyo hajawahi kukiongelea lakini kupitia wimbo huo amepigilia msumari kwenye mifupa ya wabaya wake. “Mara nakula Hamisa Mobetto, eti Sepenga kaja magheto, ilimradi Zari apate mchecheto, Tale waambie waache unambinambi hata nikila wote dini yangu sio zambi,” amerap Diamond kwenye wimbo huo.
Mstari mwingine unaodaiwa kuleta utata ni ule unaosema, “Siachi pengo hadi waombe poo, wao wakipost tembo si tunapost show.” Sikiliza wimbo huo hapa chini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Asante wema kufundisha Domo
ReplyDeleteKizungu umemtoa tongo tongo za macho
Ndo una baraka za bi Sandra
Haaaa penda Mimi wewe daimond tumia kila njia kujaza account yako kichwa kidogo akili nyingi saaaf
ReplyDelete