AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni Diamond huyu huyu ndie inspiration kwa vijana na watoto wa Tanzania waliokataliwa na baba zao kulelewa na mama tu ila wakaja kutusua kimaisha ivyo pia kutoa fundisho mtoto hakataliwi hasa kwa wanaume wanapenda kukana mimba na pia amethibitisha kuwa unaweza usiwe na elimu kubwa ila ukafanikiwa kimaisha kupitia kipaji chako na ikumbukwe hamna aliezaliwa hapa duniani bila kipaji.
Happy birthday Naseeb Abdul Juma, (Diamond Platinumz) uishi miaka mingi na heri duniani na uendelezee moyo wa kuwasaidia wasanii wenzako kufika level iyo na kutoa ajira kwa vijana wa kitanzania kupitia lebel yako na kampuni yako WCB
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
correction "he is one of the icon" sio huyu ndio ivon wa muziki wa tanzania wapo wengi sitotaka kutaja majina
ReplyDelete