AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jay dee karudi na ndindindi katamba kidogo tu kaja na ngoma yake mpya jiiiiiii imebuma haskiki tena.na ameanza kusahaulika tena
Wagosi wa kaya wakina mkoloni chaaliiiii
Mapacha nao hamna kitu kaaabisaaaaa
Dudu baya nae kuleee
Dan Msimamo kapuni
Rama D kajaribu kufulukuta wapiii
Rubby hata wimbo wake mpya haujulikani tu
Hawa jamaa wana hila gani wanafanya? daah kazi kweli kweli kwa mtindo huu wasanii acha waendelee kua watumwa tu maana njaa haina adabu..
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mwandishi akili yako ndo inakutuma jide mbona anatamba bado Na akitisha concert watu wanajaa wengi, ruby ngoma yk inapigwa deily station mbalimbali
ReplyDeleteUlitaka atumie mkorogo au avue chupi na aonyeshe makalio kama wengine jide hajafulia mtu mwenye akili zake anajitambua
ReplyDeleteEnter your comment...fake facts
ReplyDeletehuyu mwandishi mwanga!!!
ReplyDeleteNyege zina msunbua huyo muandishi wa udaku si ujitie kidole au mpelekee Ruge akunaniniluuuu.......nyie ndio wale wale waoga wa maisha bila.....clouds hutoki...Nyamabafuuuu.....
ReplyDeletembona hujamtaja SUGU aliyewatungia na album kabisa??? nae kafulia??? pumbaf zako!!
ReplyDeletendiyo maana blog yako inaitwa udaku mfuyuuu
ReplyDeleteNawewe hukauki humu, unaingia daily jinsi unavyopenda udaku, kama SHILAWADU tehe tehe tehe
Delete