AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akikabidhi bodi mpya ya soko hilo, Mjema amesema wateja wasipofika kununua samaki mapato ya soko yanapungua na kusababisha soko liendelee kuchakaa.
Ameipa bodi mpya ya soko hilo miezi mitano kumaliza tatizo la harufu hiyo na kuongeza mapato vinginevyo ataivunja.Mkuu wa wilaya alielezwa na Meneja wa Soko, Nico Eliakimu kuwa wanakusanya ushuru wa Sh 105 milioni kwa mwezi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK