Harufu Soko la Samaki Feri Imekuwa Kero..Wateja Wakimbia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkuu wa Wilaya ya Ilala,Sophia Mjema amesema harufu mbaya inayotoka kwenye soko la samaki la feri inasababisha baadhi ya wateja wasifike sokoni hapo kununua samaki.

Akikabidhi bodi mpya ya soko hilo, Mjema amesema wateja wasipofika kununua samaki mapato ya soko yanapungua na kusababisha soko liendelee kuchakaa.

Ameipa bodi mpya ya soko hilo miezi mitano kumaliza tatizo la harufu hiyo na kuongeza mapato vinginevyo ataivunja.Mkuu wa wilaya alielezwa na Meneja wa Soko, Nico Eliakimu kuwa wanakusanya ushuru wa Sh 105 milioni kwa mwezi

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad