AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ambaye mpaka sasa bado ana mashabiki wengi katika muziki wake, aliacha matumizi ya Madawa ya kulevya baada ya bintie kumuelezea adha anayopata shuleni.
“Nilijiuliza kwa nini namtesa mwanangu kwa kitu kisicho na faida, nikala kiapo kuachana na ‘unga’ na ninashukuru kwa sasa nimezaliwa upya, japo kila nikikumbuka namna nilivyotaka kupoteza nakosa amani,” Q Chief aliliambia gazeti la Mwanaspoti.
Kwa sasa muimbaji huyo ambaye yupo chini QS Mhonda Entertainment anajipanga kuachia wimbo wake mpya ambao video yake ameshoot Afrika Kusini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Saaafi sana fani namba One
ReplyDeletenakupongeza Q-Chief.na vile vile nampongeza mwanao kwa kukuokoa.mubarikiwe nyote
ReplyDelete