Ruby Ampoza Vanessa Mdee Kwa Maneno Haya Baada ya Kukosa Tuzo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ruby amemwandikia ujumbe wa kumsifia na kumtia moyo Vanessa Mdee baada ya kukosa tuzo ya Afrimma 2016 zilizofanyika wikiendi hii huko Dallas, Marekani.

Muimbaji huyo mwenye sauti ya dhahabu kupitia mtandao wake wa Instagram ameandika:

Tuzo aliyokupa Mungu love inatosha don’t worry about what happened yesterday ur still the best vee let them take that award this year but doesn’t mean that ur not the best 😫😫minnachojua tuzo yetu Tanzania tuendelee tu kufanya kazi kwaajili ya nchi yetu thats enough I know they know thats ur the one from TANZANIA....all in all love you @vanessamdee

Hata hivyo Vanessa hajaonesha donge lolote kwa msanii wa Kenya, Akothee aliyeshinda tuzo hiyo baada ya kupost picha yake na kumpongeza. Pia Jumapili hii alimpeleka lunch. Akothee alipost video akiwa na Vanessa na kuandika: Goofing around @vanessamdee yooo that lunch was hilarious thanks mamaaa 💪❤😍 but what lipstick has put together let not hand wipe.”

Pia alirepost picha aliyoweka Vanessa na kuandika: Kazi iendelee
Thanks mummy spending time with you at lunch was a great time spent.”

Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy ndio washiriki kutoka Tanzania waliofanikiwa kushinda tuzo hizo huku Linah, Alikiba, Yamoto Band na Mose Iyobo wakiwa ni washiriki wengine kutoka Tanzania waliokuwa wametajwa kwenye tuzo hizo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad