AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shamsa akizungumza baada ya kufunga ndoa
Mwigizaji huyo ametangaza uwamuzi huyo ikiwa ni miezi michache toka afunge ndoa na mfanyabishara wa maduka ya nguo, Chidi Mapenzi.
Maisha ya kuendekeza dunia nimeyachoka. Natamani ifike siku kwa kudra za Mwenyezi Mungu nibadilike. Natamani niwe mmoja ya wale watakaopata nafasi ya kwenda peponi pamoja na familia yangu . natamani nifanye IBADA kama ulivyoamua Mwenyezi Mungu. NATAMANI matendo yangu yawe ya kukufurahisha wewe Mwenyezi Mungu ili umauti utaponikuta niwe msafi..G9T MY PEOPLE. ..INSHAAALLAH MWENYEZI MUNGU ATUPE MWISHO MWEMA. .
Mashabiki wake katika mitandao ya kijamii wameonyesha kupendezwa na uwamuzi huo huku wachache wakimuuliza maswali kama ataendelea kufanya tena filamu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Jinsi unavyovaa nguo zako na msemo au nia yako ni njia mbili tofauti Chausiku
ReplyDeletepicha ya zamani hiyo
DeleteUamuzi mzuri dada yangu.kwani hakuna anaejua lini ataondoka duniani na atasema nini kilichomfurahisha MWENYEEZI MUNGU.
DeleteUBARIKIWE.
Nyie wasanii mnanishangaza wengi mnalilia ndoa kln hamuezi ndoa achana na media tulia utaharibu ndoa haina haja kutangaza na hizo picha as mabasi ya ovyo acha kutupia kwenye mitandao
ReplyDeleteDuu nimependa Dana maneno yako. .May Allah Guide you sister
ReplyDelete