Wema Sepetu na Kujikomba Kote Kwa Aunty Ezekiel atoswa Kwenye Birthday

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aunty ezekiel kweli ka move on past wema.. Pamoja na wema kujikomba kote kumuwish happy birthday aunt na kumpost mapicha kibao insta, aunty ezekiel kamkaushia mikausho mikali na hata hajamualika kwa birthday yake leo. Kweli wema kaisoma namba na leo ni namba 168.

Nahisi zarithebosslady katumia cheo
Video:
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wema is not in Bongo

    ReplyDelete
  2. move on Aunt Ezekiel Wema Sepetu hafai kama rafiki pia ulivyopata mtoto Wema Sepetu hakuja kukuona

    ReplyDelete
  3. Kweli Wema ametumika kuwapa kick wengi. Lakini naye anasababisha wamtose kwa kuringa sana wanapokosana kidogo.

    ReplyDelete
  4. Ubinadamu kazi kweli mnaona raha kugombanisha watu na mtalaaniwa Duniani na ahera

    ReplyDelete
  5. Tanzania inabidi tuache Ushamba.com wa kuwa na keki nyingi namna hiyo ktk party moja. Kwanza nani anakula? Mkila si mtazidi kunenema tu. One or 2 big cakes and lots of other presents to the birthday girl inatosha.

    ReplyDelete

Top Post Ad