AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Malalamiko hayo yalitokana na kilichosemekana kuwa uongozi huo unamzuia msanii Davido kuachia kazi mpya bila kujali kuwa ni kipindi kirefu kimepita kwa msanii huyo bila kutoa kazi mpya.
Kutoka Bongo Flevani msanii @officialalikiba naye pia yupo chini ya uongozi huo wa Sony Music. Ila yeye ameiambia Perfect255 kuwa jambo kama lile lililomtokea Davido yeye haliwezi kumkuta kutokana na mkataba wake ambao amesaini na kampuni hiyo.
Ni baada ya kuulizwa kuwa yeye amejipanga vipi kama endapo litatokea kama lililomtokea msanii mwenzake Davido katika lebo hiyo. “Nimejiandaa vizuri, na pindi unapokuwa unasaini kitu ina maana kuwa umekubaliana na kila kitu, kwahiyo mimi pia nina matakwa yangu na hata wao pia wana matakwa yao, kwahiyo kitu ambacho kipo hapo ni kwenda na agreement. Me siwezi kukaa muda zaidi ya miezi 3 bila kutoa ngoma, na huo ndio mkataba wangu jinsi unavyosema.” Hayo ndio yalikuwa majibu ya Aikiba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK